Twigaz Herbal & FOOD Nutrition

Twigaz Herbal & FOOD Nutrition Ni huduma tiba ya mimea asilia, matunda, mbogamboga na vyakula vya asili.

HI MY PEOPLE'S STAY IN SAFE
08/05/2020

HI MY PEOPLE'S STAY IN SAFE

ZIJUE TIBA NA FAIDA ZA MMEA WA MANJANO (BINZARI) TURMERIC:Mmea wa manjano una faida kubwa sana katika mwili juu ya upamb...
14/04/2020

ZIJUE TIBA NA FAIDA ZA MMEA WA MANJANO (BINZARI) TURMERIC:
Mmea wa manjano una faida kubwa sana katika mwili juu ya upambanaji na kuyatibu maradhi mengi katika mwili, na husaidia kuondoa maumivu mbalimbali katika mwili. Katika tafiti mbalimbali zilizofanywa na wataalam wa tiba za mimea, zimesema kuwa matumizi ya mmea wa manjano k**a tiba peke yake au ukichanganywa na dawa zingine za asili una uwezo wa kupunguza maumivu yatokanayo na maradhi ya mifupa. Katika tafiti zingine zilizofanywa zimethibitisha kuwa mmea wa manjano hufanya kazi vizuri za kuondoa maumivu ya mifupa k**a ilivyo katika dawa aina ya Ibuprofen.
MBALI NA KUONDOA MAUMIVU YA MARADHI YA HAYO, MMEA PIA UNA UWEZO WA KUSAIDIA NA KUTIBU MARADHI YAFUATAYO:-
KISUKARI Utafiti wa kitaalam wa awali ulipendekeza na kushauri kuwa matumizi ya mmea wa manjano k**a tiba katika kipindi cha miezi 9 mfurulizo huweza kupunguza kiwango cha sukari katika damu kwa wangonjwa wa maradhi ya kisukari cha aina ya kwanza. 2 MATATIZO YA MACHO 3 KANSA YA UTUMBO MPANA 4 TUMBO 5 FIDHI 6 VIDONDA VYA TUMBO 7 KANSA YA NGOZI 8 FIGO 9 MUWASHO WA NGOZI 10 BARIDI YABISI 11 KIFUA KIKUU 12 HOMA YA MANJANO 13 KUHARISHA 14 UVIMBE KATIKA MFUKO WA KIZAZI 15 MATATIZO YA INNI NA NYONGO 16 MAUMIVU YA KICHWA 17 MATATIZO YA HEDHI NA MENGINEYO.
Tumia dawa ya mmea huu kwa kufuata maelekezo na ushauri wa mtaalam wa tiba za mimea.
Kwa ushauri na maelekezo ya kitabibu wasiliana nasi kupitia ukurasa huu au piga simu: +255688475708/+255748340339
Mungu akubariki akupe afya njema akuepushe na maradhi
BY DR KATWIGA NKWABHI

Habari za siku ndugu  wapendwa na polen na mihangaiko ya kila siku ya kulisukuma gurudumu la maisha mbele lakini pia pol...
05/04/2020

Habari za siku ndugu wapendwa na polen na mihangaiko ya kila siku ya kulisukuma gurudumu la maisha mbele lakini pia polen na kazi za kulijenga taifa Mungu awabariki katika kazi za mikono yenu lakini pia Mungu awape afya njema siku zote.
HABARI NJEMA ZA AFYA NA TIBA KATIKA MFUMO WA TIBA ZA ASILI.
Ndugu wapendwa tunazo dawa nzuri za maradhi yaliyo ikumba jamii ya ulimwengu wa kisasa kutokana mapinduzi ya kiutamaduni katika mfumo wa vyakula na tekinolojia mpya, hivyo tuhudumia maradhi yafuatayo:- 1.Tunatoa huduma ya matibabu ya kisaikolojia 2. Maumivu ya viungo 3. Maumivu ya miguu na mikono 4. Maumivu ya moyo 5. Vidonda vya tumbo 6. Kiharusi 7. Matatizo ya neva 8. Matatizo ya hedhi 9. Vijiwe kwenye kibofu 10. Bawasiri 11. Msh*tuko wa moyo 12. Kisukari aina ya kwanza 13. Kisukari aina ya pili 14. Kansa 15. Kifafa 16. Pumu 17. Mkamba na maradhi mengine mengi.
Kumbuka vyakula vya asili ni muhimu katika mwili wako kwa afya njema hivyo basi dawa za asili na vyakula huweka mwili wako katika usawa uliyo sawa na ukiwa salama siku zote ila tu sharti la kuzingatia kanuni na utaratibu wa tiba hizo. Kwa ushauri zaidi wa kitabibu na dawa wasiliana nami kwa simu namba +255688475708 aidha niachie ujumbe kwenye ukurasa huu pia waweza kutuma sms tafadhari usibip
Asanteni na Mungu awabariki
By Dr Katwiga Nkwabhi

GOOD NEWS FOR THE SOCIALFor the healthy and physiotherapy in naturopathy's: We have a good medicines for many epidemiolo...
05/04/2020

GOOD NEWS FOR THE SOCIAL
For the healthy and physiotherapy in naturopathy's: We have a good medicines for many epidemiology amongst that is:- 1 Psychotherapist 2. Joint inflammation 3. Leg and arm pain 4. Hip pain 5. Heart and general pain 6. Hearing problem 7. Ulcers 8. Stroke 10. Nervous tics 11. Menopause 12. Kidney stones and sand 13. Hemorrhoids 14. Heart attack 15. Epilepsy 16. Diabetes type 1 and Diabetes type 2 17. Cancer 18. Asthma 19. Chronic bronchitis and so many others. Just remember the natural medicine and food's are good and assential for your health body.
For more advise meet me directly or chatt me to my page also you can call me through my mobile no+255688475708
Thanks im Dr. Katwiga Nkwabhi

24/12/2019

You should know by now Whole Foods is a business cashing in on health trends…

Address

Kaliua
Tabora
TWIGAZ

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Twigaz Herbal & FOOD Nutrition posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Twigaz Herbal & FOOD Nutrition:

Shortcuts

Share