Interchick Shambani

Interchick Shambani � Tunawekeza ubora kwenye kila yai tunalototolesha, kila kuku tunaefuga na kila chakula tunachotengeneza.

05/08/2026

SAUTI ZA WASHINDI - EPISODE 1

Mfugaji wa Broiler (kuku wa nyama) Kindamba Ally, akieleza ni namna gani amekuwa akinufaika na ufugaji kutokana na ubora wa vifaranga na chakula anachopata kutoka kwetu.​

Pia anaeleza vitu muhimu vya kuzingatia ili kufuga kwa faida ikiwa ni pamoja na;-
✅Joto sahihi
✅Maji safi na salama
✅Chakula cha kutosha na
✅Usimamizi wa karibu

Weka oda yako leo ya vifaranga wa Broiler kwa kupiga simu:-
✅Dar es Saalam:
i) Mbezi HQ: 0699 999 600 au 0762 728 057
ii) Kiluvyia depot: 0683 128 783
iii) Kigamboni depot: 0696 445 847
iv) Mlandizi depot: 0653 153 882
✅Mwanza: 068 312 8837
✅Mbeya: 0683 127 974
✅Arusha: 0753 934 541
✅Dodoma: 0698 273 909
✅Morogoro: 0781 500 416
✅Tanga: 0683 131 552



Faida ipo nje nje unapofuga bonge la kifaranga kutoka Interchick.​Hii ni kwasababu wanakua kwa kasi na kukupa uzito mzur...
04/08/2026

Faida ipo nje nje unapofuga bonge la kifaranga kutoka Interchick.

Hii ni kwasababu wanakua kwa kasi na kukupa uzito mzuri unaostahili, na kuanzia siku ya 21 -28 unaanza kuvuna.

Weka oda yako leo kwa kupiga simu:-
✅Dar es Saalam:
i) Mbezi HQ: 0699 999 600 au 0762 728 057
ii) Kiluvyia depot: 0683 128 783
iii) Kigamboni depot: 0696 445 847
iv) Mlandizi depot: 0653 153 882
✅Mwanza: 068 312 8837
✅Mbeya: 0683 127 974
✅Arusha: 0753 934 541
✅Dodoma: 0698 273 909
✅Morogoro: 0781 500 416
✅Tanga: 0683 131 552



01/08/2026

Kila mfugaji anapaswa kuhakikisha anazingatia biosecurity ili kuzuia kusambaa kwa magonjwa na vimelea vinavyoweza kuhatarisha afya ya kuku.​

Hakikisha unaweka visimba vya kunawia miguu vyenye dawa ya kuua vijidudu ili kupunguza hatari ya maambukizi kuingia bandani.​

Komenti neno BIOSECURITY k**a wewe ni mmojawapo wa wafugaji wanaozingatia kila siku.​

30/07/2026

CODE ZA UFUGAJI – EPISODE 1

Usafirishaji wa vifaranga ni hatua muhimu kwa afya na ukuaji wao.

Hakikisha unatumia usafiri ulio salama, wenye hewa ya kutosha na usio na msongamano ili vifaranga vifike salama na kupunguza msongo pamoja na vifo vinavyoweza kuzuilika.

Endelea kufuatilia ukurasa wetu kuelimika zaidi ili ufuge kwa kujiamini, usibahatishe.



Tumia lishe bora yenye virutubisho vyote muhimu kwa ukuaji wa kuku katika kila hatua kuanzia siku ya kwanza.​Tembelea of...
28/07/2026

Tumia lishe bora yenye virutubisho vyote muhimu kwa ukuaji wa kuku katika kila hatua kuanzia siku ya kwanza.​

Tembelea ofisi yetu ujipatie Broiler starter, Grower na Finisher kwa matokeo yenye tija.​

Wasiliana nasi ukiwa popote Tanzania nzima kupitia namba zifuatazo:-

✅Dar es Saalam:
i) Mbezi HQ: 0699 999 600 au 0762 728 057
ii) Kiluvyia depot: 0683 128 783
iii) Kigamboni depot: 0696 445 847
iv) Mlandizi depot: 0653 153 882
✅Mwanza: 068 312 8837
✅Mbeya: 0683 127 974
✅Arusha: 0753 934 541
✅Dodoma: 0698 273 909
✅Morogoro: 0781 500 416
✅Tanga: 0680 202 555



27/07/2026

Kaa mkao wa kupata madini ya kufuga kwa faida.

Kuanzia wiki hii, tunakuletea maarifa na siri muhimu kukusaidia kufuga kwa faida, usibahatishe tena.

Follow page na washa notifications ili usipitwe na post yoyote.



25/07/2026

Wape kuku wako chakula bora chenye virutubisho muhimu kwa ajili ya ukuaji mzuri, afya bora na uzalishaji wenye tija.

Lishe bora huwasaidia kuku kukua vizuri, kuwa na afya imara na kufikia uwezo wao wa juu wa uzalishaji.

Tembelea ofisi yetu iliyopo karibu yako au wasiliana nasi kupitia namba zifuatazo ujipatie chakula bora cha Broiler (kuku wa nyama).

✅Dar es Saalam:
i) Mbezi HQ: 0699 999 600 au 0762728057
ii) Kiluvyia depot: 0683 128 783
iii) Kigamboni depot: 0696 445 847
iv) Mlandizi depot: 0653 153 882
✅Mwanza: 068 312 8837
✅Mbeya: 0683 127 974
✅Arusha: 0753 934 541
✅Dodoma: 0698 273 909
✅Morogoro: 0781 500 416
✅Tanga: 0680 202 555



23/07/2026

Usibahatishe mafanikio ya ufugaji wako.

Anza kufuga vifaranga bora wa kuku wa nyama kutoka kwetu pamoja na lishe bora yenye virutubisho vyote muhimu kwa kila hatua ya ukuaji kuanzia starter hadi finisher.​

Weka oda yako leo ukiwa popote Tanzania nzima kwa kuwasiliana nasi kupitia namba zifuatazo:-

✅Dar es Saalam:
i) Mbezi HQ: 0699 999 600 au 0762 728 057
ii) Kiluvyia depot: 0683 128 783
iii) Kigamboni depot: 0696445847
iv) Mlandizi depot: 0653 153 882
✅Mwanza: 068 312 8837
✅Mbeya: 0683 127 974
✅Arusha: 0753 934 541
✅Dodoma: 0698 273 909
✅Morogoro: 0781 500 416
✅Tanga: 0680 202 555



21/07/2026

Kuna Broiler.... halafu kuna
Broiler (kuku wa nyama) wa Interchick, huyu ni Bonge la Kifaranga na anapatikana kwetu pekee.

Usikubali kubahatisha ufugaji wako. Chagua kifaranga cha Broiler kinachokupa matokeo unayoyataka kuanzia siku ya kwanza kikiwa imara na chenye afya bora.​

Weka oda yako leo ukiwa popote Tanzania nzima kwa kuwasiliana nasi kupitia, ​

Weka oda yako leo ukiwa popote Tanzania nzima kwa kuwasiliana nasi kupitia namba zifuatazo:-

✅Dar es Saalam:
i) Mbezi HQ: 0699 999 600 au 0762 728 057
ii) Kiluvyia depot: 0683 128 783
iii) Kigamboni depot: 0696445847
iv) Mlandizi depot: 0653 153 882
✅Mwanza: 068 312 8837
✅Mbeya: 0683 127 974
✅Arusha: 0753 934 541
✅Dodoma: 0698 273 909
✅Morogoro: 0781 500 416
✅Tanga: 0680 202 555



21/07/2026

Kabla ya yai na kabla ya kifaranga ulianza ubora, na hapa ndipo tumejikita zaidi kuhakikisha mfugaji anapata kifaranga bora, imara na mwenye afya kuanzia siku ya kwanza.​

Ndio maana kifaranga wa Broiler wa Interchick sio kifaranga wa kawaida tu, bali ni BONGE LA KIFARANGA ambaye,​
✅Anakua kwa haraka​
✅Anatoa nyama nyingi​ na
✅Mfugaji anapata faida chap chap​

Weka oda yako leo ukiwa popote Tanzania nzima kwa kuwasiliana nasi kupitia namba zifuatazo:-

✅Dar es Saalam:
i) Mbezi HQ: 0699 999 600 au 0762 728 057
ii) Kiluvyia depot: 0683 128 783
iii) Kigamboni depot: 0696 445 847
iv) Mlandizi depot: 0653 153 882
✅Mwanza: 068 312 8837
✅Mbeya: 0683 127 974
✅Arusha: 0753 934 541
✅Dodoma: 0698 273 909
✅Morogoro: 0781 500 416
✅Tanga: 0680 202 555


Address

New Bagamoyo Road, Jogoo/Mbezi Industrial Area, P. O. Box 5774
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00
Saturday 08:00 - 13:00

Telephone

+255762728057

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Interchick Shambani posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Interchick Shambani:

Shortcuts

Share

Category