17/05/2026
English Swahili. Psalms 113:5,7-9
[5]Who is like unto the LORD our God, who dwelleth on high,
Ni nani aliye mfano wa BWANA, Mungu wetu aketiye juu;
[7]He raiseth up the poor out of the dust, and lifteth the needy out of the dunghill;
Humwinua mnyonge kutoka mavumbini, Na kumpandisha maskini kutoka jaani.
[8]That he may set him with princes, even with the princes of his people.
Amketishe pamoja na wakuu, Pamoja na wakuu wa watu wake.
[9]He maketh the barren woman to keep house, and to be a joyful mother of children. Praise ye the LORD.
Huweka nyumbani mwanamke aliye tasa, Awe mama ya watoto mwenye furaha.